Yohane 9:7 BHN

7 akamwambia, “Nenda ukanawe katika bwawa la Siloamu.” (Maana ya jina hili ni “aliyetumwa”). Hapo, huyo kipofu akaenda, akanawa, kisha akarudi akiwa anaona.

Kusoma sura kamili Yohane 9

Mtazamo Yohane 9:7 katika mazingira