8 Hivyo ndivyo pia walivyo watu hawa. Ndoto zao huwaongoza katika kuichafua miili yao wenyewe, kuyadharau mamlaka ya Mungu na kuvitukana viumbe vitukufu vya huko juu.
Kusoma sura kamili Yuda 1
Mtazamo Yuda 1:8 katika mazingira