Yuda 1:7 BHN

7 Kumbukeni pia Sodoma na Gomora, na miji ya kandokando yake; wenyeji wake walifanya kama wale malaika; walifanya uzinzi na mambo yaliyo kinyume cha maumbile, wakapewa hukumu ya moto wa milele, iwe onyo kwa watu wote.

Kusoma sura kamili Yuda 1

Mtazamo Yuda 1:7 katika mazingira