1 Wafalme 18:19 BHN

19 Sasa, uwakusanye watu wote wa Israeli mbele yangu huko mlimani Karmeli. Hali kadhalika, wakusanye wale manabii 450 wa Baali, na manabii 400 wa Ashera mungu wa kike, ambao huhifadhiwa na malkia Yezebeli.”

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 18

Mtazamo 1 Wafalme 18:19 katika mazingira