1 Wafalme 19:5 BHN

5 Basi, Elia akalala chini ya mti huo, akashikwa na usingizi. Punde, malaika akaja, akamgusa na kumwambia, “Amka ule.”

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 19

Mtazamo 1 Wafalme 19:5 katika mazingira