1 Wafalme 19:7 BHN

7 Malaika wa Mwenyezi-Mungu akamjia tena mara ya pili, akamgusa na kumwambia, “Amka ule, la sivyo safari itakuwa ngumu mno kwako.”

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 19

Mtazamo 1 Wafalme 19:7 katika mazingira