2 Mambo Ya Nyakati 10:6 BHN

6 Baadaye, Rehoboamu alitaka kujua maoni ya wazee ambao walikuwa washauri wa Solomoni, baba yake, alipokuwa angali hai, akawauliza, “Je, mnanishauri niwape jibu gani watu hawa?”

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 10

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 10:6 katika mazingira