2 Mambo Ya Nyakati 12:12 BHN

12 Alipojinyenyekesha, Mwenyezi-Mungu aliacha kumghadhibikia na hakumwangamiza kabisa. Zaidi ya hayo, hali ya nchi ya Yuda ilikuwa nzuri.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 12

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 12:12 katika mazingira