2 Mambo Ya Nyakati 23:1 BHN

1 Baadaye, mnamo mwaka wa saba, kuhani Yehoyada alijipa moyo akafanya mapatano na makapteni: Azaria mwana wa Yehoramu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 23

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 23:1 katika mazingira