2 Mambo Ya Nyakati 33:13 BHN

13 Alimsihi, naye Mungu akapokea ombi lake na sala yake akamrudisha Yerusalemu katika ufalme wake. Ndipo Manase akatambua kuwa Mwenyezi-Mungu ndiye Mungu.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 33

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 33:13 katika mazingira