2 Mambo Ya Nyakati 33:22 BHN

22 Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, kama vile Manase baba yake alivyofanya. Pia alitoa sadaka na kutumikia sanamu ambazo Manase baba yake alichonga.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 33

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 33:22 katika mazingira