12 Halafu walitenga sadaka za kuteketeza ili waweze kuzigawa kulingana na jamaa zao walio makuhani ili wamtolee Mwenyezi-Mungu kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Mose. Nayo mafahali waliwafanya vivyo hivyo.
Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 35
Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 35:12 katika mazingira