10 Hakukuwa na kitu ndani ya sanduku la agano, ila vile vibao viwili vya mawe ambavyo Mose aliviweka humo kule Horebu, mahali Mwenyezi-Mungu alipofanya agano na watu wa Israeli, walipotoka Misri.
Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 5
Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 5:10 katika mazingira