2 Mambo Ya Nyakati 5:7 BHN

7 Kisha makuhani wakaliingiza sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu mahali pake, katika chumba cha ndani cha nyumba, mahali patakatifu sana, chini ya mabawa ya wale viumbe.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 5

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 5:7 katika mazingira