21 Sikia maombi yangu mimi mtumishi wako na ya watu wako Israeli wanapoomba wakielekea mahali hapa. Usikie maombi kutoka huko mbinguni na ukisha sikia, utusamehe.
Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 6
Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 6:21 katika mazingira