2 Samueli 11:24 BHN

24 Halafu wakatupiga mishale sisi watumishi wako kutoka ukutani. Baadhi ya watumishi wako waliuawa. Hata mtumishi wako Uria, Mhiti, naye amekufa.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 11

Mtazamo 2 Samueli 11:24 katika mazingira