2 Samueli 12:20 BHN

20 Kisha, Daudi aliinuka kutoka sakafuni, akaoga, akajipaka mafuta na kubadilisha mavazi yake. Halafu akaenda katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu na kuabudu. Kisha akarudi nyumbani na alipotaka chakula, akapewa, naye akala.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 12

Mtazamo 2 Samueli 12:20 katika mazingira