2 Samueli 14:30 BHN

30 Basi, Absalomu akawaambia watumishi wake, “Angalieni Yoabu ana shamba la shayiri karibu na langu. Nendeni mkalichome moto.” Kwa hiyo watumishi wa Absalomu wakalichoma moto shamba la Yoabu.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 14

Mtazamo 2 Samueli 14:30 katika mazingira