2 Samueli 20:14 BHN

14 Sheba alipitia katika makabila yote ya Israeli mpaka mji wa Abeli wa Beth-maaka. Watu wote wa ukoo wa Bikri wakakusanyika na kumfuata.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 20

Mtazamo 2 Samueli 20:14 katika mazingira