2 Samueli 20:16 BHN

16 Kisha, mwanamke fulani mwenye hekima alisikika kutoka mjini akisema, “Sikieni! Sikieni! Mwambieni Yoabu aje nizungumze naye.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 20

Mtazamo 2 Samueli 20:16 katika mazingira