2 Samueli 3:26 BHN

26 Yoabu alipotoka kuzungumza na Daudi, alituma wajumbe wakamlete Abneri, nao wakamkuta kwenye kisima cha Sira na kumrudisha, lakini Daudi hakujua jambo hilo.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 3

Mtazamo 2 Samueli 3:26 katika mazingira