Danieli 3:24 BHN

24 Basi, mfalme Nebukadneza akashangaa, akainuka kwa haraka na kuwauliza washauri wake, “Je, hatukuwafunga watu watatu na kuwatupa motoni?” Nao wakamjibu mfalme, “Naam, mfalme! Ndivyo!”

Kusoma sura kamili Danieli 3

Mtazamo Danieli 3:24 katika mazingira