Danieli 6:15 BHN

15 Wale watu wakamwendea mfalme Dario kwa pamoja na kumwambia, “Ee mfalme, ujue kuwa hakuna sheria wala amri yoyote ya Wamedi na Wapersi inayoweza kubatilishwa baada ya kuwekwa na mfalme.”

Kusoma sura kamili Danieli 6

Mtazamo Danieli 6:15 katika mazingira