16 Ndipo mfalme Dario akatoa amri, naye Danieli akaletwa na kutupwa katika pango la simba. Mfalme akamwambia Danieli, “Mungu wako ambaye unamtumikia daima, na akuokoe.”
Kusoma sura kamili Danieli 6
Mtazamo Danieli 6:16 katika mazingira