Danieli 6:16 BHN

16 Ndipo mfalme Dario akatoa amri, naye Danieli akaletwa na kutupwa katika pango la simba. Mfalme akamwambia Danieli, “Mungu wako ambaye unamtumikia daima, na akuokoe.”

Kusoma sura kamili Danieli 6

Mtazamo Danieli 6:16 katika mazingira