35 wa mji wa Senaa: 3,630.
36 Ifuatayo ni idadi ya makuhani waliorudi kutoka uhamishoni: Makuhani wa ukoo wa Yedaya, waliokuwa wazawa wa Yeshua: 673;
37 wa ukoo wa Imeri: 1,052;
38 wa ukoo wa Pashuri: 1,247;
39 wa ukoo wa Harimu: 1,017.
40 Walawi wa ukoo wa Yeshua na wa Kadmieli, wazawa wa Hodavia waliorudi kutoka uhamishoni walikuwa 74.
41 Waimbaji (wazawa wa Asafu), walikuwa 128.