17 nayo hasira ya Mwenyezi-Mungu ikawaka dhidi yenu, akazifunga mbingu hata pasiwepo mvua na nchi ikaacha kutoa mazao yake, halafu mkaangamia upesi kutoka katika nchi nzuri ambayo Mwenyezi-Mungu anawapa.
Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 11
Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 11:17 katika mazingira