12 Naye mtu asiyejali kumtii kuhani au mwamuzi aliyewekwa hapo kumhudumia Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, au mwamuzi, mtu huyo atauawa. Ndivyo mtakavyokomesha uovu miongoni mwenu.
Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 17
Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 17:12 katika mazingira