8 Inawezekana kukatokea mashtaka mengine yaliyo magumu mijini mwenu, kama vile kesi zihusuzo: Unajisi, mambo ya haki za watu, na madhara ya mwili. Ikitokea hivyo, mtaondoka na kwenda mahali alipopachagua Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu,
Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 17
Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 17:8 katika mazingira