15 Kila siku, kabla jua halijakuchwa, mlipe ujira wake wa siku hiyo, maana yeye ni maskini na huo ujira ni tegemeo la moyo wake; ili asije akamlilia Mwenyezi-Mungu, nawe ukawa na hatia.
Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 24
Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 24:15 katika mazingira