9 Basi, Mose pamoja na makuhani Walawi wakawaambia watu wote wa Israeli, “Nyamazeni mnisikilize enyi watu wa Israeli. Leo hii nyinyi mmekuwa watu wake Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu.
Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 27
Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 27:9 katika mazingira