2 Lakini Mwenyezi-Mungu aliniambia, ‘Usimwogope, maana nimemtia mikononi mwako pamoja na watu wake na nchi yake. Utamtendea kama ulivyomtendea Sihoni mfalme wa Waamori aliyekaa kule Heshboni’.
Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 3
Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 3:2 katika mazingira