6 Tuliteketeza kila kitu huko, tukaharibu kila mji na kuua wanaume, wanawake na watoto kama tulivyofanya katika miji ya mfalme Sihoni wa Heshboni.
Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 3
Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 3:6 katika mazingira