Mhubiri 1:16 BHN

16 Basi, nikatafakari nikisema, “Nimejipatia hekima nyingi zaidi kupita wote waliopata kutawala Yerusalemu kabla yangu. Naam, nina uzoefu wa hekima na maarifa.”

Kusoma sura kamili Mhubiri 1

Mtazamo Mhubiri 1:16 katika mazingira