Mhubiri 10:17 BHN

17 Heri yako, ewe nchi, mtawala wako akiwa mtu wa heshima,na viongozi wako wakifanya sherehe wakati wa kufaa,ili kujipatia nguvu na si kujilewesha.

Kusoma sura kamili Mhubiri 10

Mtazamo Mhubiri 10:17 katika mazingira