Mhubiri 7:15 BHN

15 Katika maisha yangu duni, nimeona kila kitu; mtu mwadilifu hufa ingawa ni mwadilifu, ambapo mtu mwovu huendelea kuishi maisha marefu ingawa ni mwovu.

Kusoma sura kamili Mhubiri 7

Mtazamo Mhubiri 7:15 katika mazingira