Mhubiri 9:1 BHN

1 Nilitafakari juu ya hayo yote, nikaona kwamba Mungu anaongoza matendo ya watu wenye hekima na waadilifu; ikiwa ni upendo au chuki, binadamu hajui. Kila kitu kwao ni bure kabisa,

Kusoma sura kamili Mhubiri 9

Mtazamo Mhubiri 9:1 katika mazingira