16 Mwenyezi-Mungu ananguruma huko Siyoni;sauti yake inavuma kutoka Yerusalemu;mbingu na dunia vinatetemeka.Lakini Mwenyezi-Mungu ni kimbilio la watu wake,ni ngome ya usalama kwa Waisraeli.
Kusoma sura kamili Yoeli 3
Mtazamo Yoeli 3:16 katika mazingira