Yoshua 17:16 BHN

16 Nao wakamjibu, “Ni kweli kwamba nchi hii ya milima haitutoshi; hata hivyo wale Wakanaani wote wanaokaa kwenye tambarare wana magari ya chuma, vilevile wale wote wanaokaa Beth-sheani pamoja na vijiji vyake, na wale wanaoishi katika Bonde la Yezreeli.”

Kusoma sura kamili Yoshua 17

Mtazamo Yoshua 17:16 katika mazingira