Zekaria 1:21 BHN

21 Nami nikauliza, “Watu hawa wanakuja kufanya nini?” Yeye akanijibu, “Watu hawa wamekuja kuyatisha na kuyaangamiza yale mataifa yenye nguvu ambayo yaliishambulia nchi ya Yuda na kuwatawanya watu wake.”

Kusoma sura kamili Zekaria 1

Mtazamo Zekaria 1:21 katika mazingira