4 Msiwe kama wazee wenu ambao manabii waliwaambia waachane na mienendo yao miovu na matendo yao mabaya, lakini wao hawakunisikiliza wala hawakunitii mimi Mwenyezi-Mungu.
Kusoma sura kamili Zekaria 1
Mtazamo Zekaria 1:4 katika mazingira