Zekaria 10:7 BHN

7 Watu wa Efraimu watakuwa kama mashujaa vitani;watajaa furaha kama waliokunywa divai.Watoto wao wataona hayo na kufurahi,watajaa furaha mioyoni kwa sababu yangu Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Zekaria 10

Mtazamo Zekaria 10:7 katika mazingira