Zekaria 2:9 BHN

9 Naam, nitachukua hatua dhidi ya hao waliowatekeni nyara, nao watatekwa nyara na wale waliowafanya watumwa wao.” Hapo ndipo mtakapojua kuwa Mwenyezi-Mungu wa majeshi ndiye aliyenituma.

Kusoma sura kamili Zekaria 2

Mtazamo Zekaria 2:9 katika mazingira