Zekaria 3:9 BHN

9 Kumbukeni kuwa nimeweka mbele ya Yoshua jiwe moja lenye nyuso saba. Nami nitachora maandishi juu yake, na kwa siku moja tu, nitaiondoa dhambi ya nchi hii. Naam, mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi nimesema.

Kusoma sura kamili Zekaria 3

Mtazamo Zekaria 3:9 katika mazingira