Mdo 10:22 SUV

22 Wakasema, Kornelio akida, mtu mwenye haki, mchaji wa Mungu, aliye na sifa njema kwa taifa lote la Wayahudi, alionywa na malaika mtakatifu kutuma watu kwako, uende nyumbani kwake, apate kusikiliza maneno kwako.

Kusoma sura kamili Mdo 10

Mtazamo Mdo 10:22 katika mazingira