Mdo 10:28 SUV

28 Akawaambia, Ninyi mnajua ya kuwa si halali mtu aliye Myahudi ashikamane na mtu aliye wa taifa lingine wala kumwendea, lakini Mungu amenionya, nisimwite mtu awaye yote mchafu wala najisi.

Kusoma sura kamili Mdo 10

Mtazamo Mdo 10:28 katika mazingira