Mdo 13:1 SUV

1 Na huko Antiokia katika kanisa lililokuwako palikuwa na manabii na waalimu, nao ni Barnaba, na Simeoni aitwaye Nigeri, na Lukio Mkirene, na Manaeni aliyekuwa ndugu wa kunyonya wa mfalme Herode, na Sauli.

Kusoma sura kamili Mdo 13

Mtazamo Mdo 13:1 katika mazingira