Mdo 23:10 SUV

10 Ugomvi mkubwa ulipotokea, yule jemadari akachelea Paulo asije akararuliwa nao, akaamuru askari washuke na kumwondoa kwa nguvu mikononi mwao, na kumleta ndani ya ngome.

Kusoma sura kamili Mdo 23

Mtazamo Mdo 23:10 katika mazingira