Mdo 5:21 SUV

21 Nao waliposikia wakaenda alfajiri hekaluni, wakaanza kufundisha.Akaja Kuhani Mkuu nao waliokuwa pamoja naye, wakawakutanisha watu wa baraza, na wazee wote wa wana wa Israeli, wakatuma watu gerezani ili wawalete.

Kusoma sura kamili Mdo 5

Mtazamo Mdo 5:21 katika mazingira