Mk. 2:22 SUV

22 Wala hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu; ikiwa atia, ile divai mpya itavipasua viriba vile, divai ikamwagika, vile viriba vikaharibika. Bali hutia divai mpya katika viriba vipya.

Kusoma sura kamili Mk. 2

Mtazamo Mk. 2:22 katika mazingira