Mt. 13:15 SUV

15 Maana mioyo ya watu hawa imekuwa mizito,Na kwa masikio yao hawasikii vema,Na macho yao wameyafumba;Wasije wakaona kwa macho yao,Wakasikia kwa masikio yao,Wakaelewa kwa mioyo yao,Wakaongoka, nikawaponya.

Kusoma sura kamili Mt. 13

Mtazamo Mt. 13:15 katika mazingira